Mwana wa Handeni

Mwana wa Handeni
Handeni District Council has earmarked a number of specific types and areas for investment based on a study conducted by a consultant. These are in fruit growing, vegetable farming, dairying, sheep rearing, rubber production, honey production and processing, small-scale mining, cultural tourism, tourist hotel development and marketing.

Monday, November 28, 2011

TATIZO LA MAJI

Maji yamekuwa ni tatizo sugu katika wilaya ya handeni na hakuna mbinu mbadala zilizo fanywa kutatua tatizo hilo,hii inaonyesha ni jinsi gani viongozi wa handeni utendaji wao ulivyokuwa duchu.Wewe kama umepewa dhamana ya kuwa kiongozi basi hunabudi kutimiza matakwa ya kazi yako na wala sio kujali tumbo lako.Inafahamika kuwa wanawake wengi wa Handeni wanapoteza muda mwingi katika tutafuta majikwaajili ya matumizi ya kilasiku,shughuli nyigi za kimaendelo zimelala katika wilaya yetu kutokana na tatizo la maji.wahenga walisema ukiona aliye mbeleyenu amelala inabidi mumuamshe ili ajue kuwa kuna hatua anatakiwa apige ndio wanyuma yake wasogee.

Saturday, November 12, 2011

GRADUATE CEREMON INVITED BY MUSSA MAJILI .

Mr mussa majili anafurahi kuwafahamisha ndugu na jamaa kuwa mahafari ya kuhitimu shahada yake ya kwanza yatafanyika tarehe 26 november 2011 katika chuo kikuu cha dodoma ( UDOM),wote mnakaribishwa kuhudhuria mahafari hayo.

Blogu ya Watu na matukio ya Mzee wa Bonde: NGOMA YA UFUNGILO HANDENI

Blogu ya Watu na matukio ya Mzee wa Bonde: NGOMA YA UFUNGILO HANDENI: ADAM ATHUMANI MGANGA MPIGA NGOMA YA UFUNGILO INAYOASHIRIA KUANZA KWA BARAZA LA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA HANDENI, MGANGA ALIANZ...

SAUMU SHABAN SEEKING PRIMARY DATA ABOUT SHORTAGE OF WATER IN HANDENI

Nina mpango wa kufanya research yangu inayohusu matatizo ya maji yanayowakabili wananchi wa handeni pamoja na milipuko ya magonjwa yanayohusiana na shortage ya maji hivyo basi naomba mnisaidie juu ya vyanzo vya maji kwani sivijui na ninatakiwa niangalie kama quantity ya maji inafullfill mahitaji ya wananchi na ubora wa maji hayo, naomba mnisaidie kama mnavijua wadau

Friday, November 11, 2011

TAARIFA KWA WANAHANDENI

Habari za kwenu wana wa kwetu,tunawakaribisha kwenye blog yetu mpya ya wana handeni,lengo la blog hii ni kutukutanisha pamoja wana wa kaya tulio potezana na ambao tuko nje ya mipaka ya handeni ambao hatuja fahamiana. wote mnakaribishwa

blog ya wazalendo

Blog hii imetengenezwa ili kuwafanya wana handeni kujua nini kinaendelea kwao na nini kifanyike ili kukuza maendeleo ya Handeni

Popular Posts

Followers

handeni view

Handeni District Slideshow: Me’s trip from Tanzania to 2 cities Tanga and Dodoma was created by TripAdvisor. See another Tanzania slideshow. Take your travel photos and make a slideshow for free.

people and events in Handeni district

Salehe Slides Slideshow: Watu’s trip to Tanga, Tanzania was created by TripAdvisor. See another Tanga slideshow. Take your travel photos and make a slideshow for free.